YAH: TAMASHA/IBADA YA KUSIFU NA KUABUDU UMOJA WA VIJANA DAYOSISI
Wapendwa VIJANA ninawasalimu BWANA WETU YESU KRISTO ASIFIWE.
Ninawajulisha kuwa Kwa mujibu wa KALENDA YA MATUKIO YA VIJANA 2017 kutakuwa na TAMASHA/IBADA YA KUSIFU NA KUABUDU NGAZI YA DAYOSISI.
Mahali: USHARIKA WA KIMARA uliopo Jimbo la Magharibi.
Tarehe: 22/01/2017.
Siku: Jumapili hii
Muda: Kuanzia Saa 7:00 Mchana.
WAHUSIKA: VIJANA WOTE KUTOKA MAJIMBO YOTE NA SHARIKA NA MITAA YOTE ndani ya DMP.
**********************
Njooni wote TUSIFU, TUABUDU, TUOMBE KWA PAMOJA NA TUMKABIDHI MUNGU MIPANGO YETU VIJANA KWA MWAKA 2017.
*****-***************
Ninawakaribisha sana katika tukio hilo, na ninawatakia Maandalizi mema na MUNGU wa MBINGUNI awe nanyi katika maandalizi na usikose kuombea tukio hilo.
Kwa maana mmeokolewa kwa neema...........Waefeso 2:8
************-*--*---**
ANANIA NDONDOLE
M/Kiti
Umoja wa Vijana Dayosisi
No comments:
Post a Comment