MAARIFA ZAIDI
Ni kweli Mwaka jana 2016 hukufanikisha jambo la kiuwekezaji japo hukuwahi kulala njaa..
Hii inamaana kuwa mipango yako yote uliwekeza katika kuishi na si kuishi katika kufikia malengo makubwa kwaajili ya siku za usoni.
Zingatia machache haya:
1. Usikubali kuishi kwa kutegemea chanzo kimoja cha mapato
2. Usiweke akiba baada ya kufanya matumizi weka akiba kabla ya matumizi
3. Mtafute Muumba wako kwa nguvu zako zote na akili zako zote
4. Fikiri kabla ya kutenda jambo..
2017- Maarifa akilini, Speed Unyayoni
Be blessed .....!!!!!
No comments:
Post a Comment